Kumbukumbu la Torati 31:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC26 Twaeni kitabu hiki cha torati, mkiweke kando ya sanduku la Agano la BWANA, Mungu wenu, ili kiwepo kama shahidi juu yako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 “Chukueni kitabu hiki cha sheria, mkiweke karibu na sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ili kiwe ushahidi dhidi yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 “Chukueni kitabu hiki cha sheria, mkiweke karibu na sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ili kiwe ushahidi dhidi yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 “Chukueni kitabu hiki cha sheria, mkiweke karibu na sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ili kiwe ushahidi dhidi yenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 “Chukueni Kitabu hiki cha Torati mkakiweke kando ya Sanduku la Agano la Mwenyezi Mungu, Mungu wenu. Hapo ndipo kitakapokaa kama shahidi dhidi yenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 “Chukueni Kitabu hiki cha Torati mkakiweke kando ya Sanduku la Agano la bwana Mwenyezi Mungu wenu. Hapo ndipo kitakapokaa kama shahidi dhidi yenu. Tazama sura |