Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 30:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Angalia, nimekuwekea leo mbele yako uzima na mema, na mauti na mabaya;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 “Leo hii nawapeni uchaguzi kati ya mema na mabaya; kati ya uhai na kifo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 “Leo hii nawapeni uchaguzi kati ya mema na mabaya; kati ya uhai na kifo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 “Leo hii nawapeni uchaguzi kati ya mema na mabaya; kati ya uhai na kifo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Tazama, naweka mbele yako leo uzima na mafanikio, mauti na maangamizi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Tazama, naweka mbele yako leo uzima na mafanikio, mauti na maangamizo.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 30:15
18 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.”


Katika njia ya haki kuna uhai; Wala hakuna mauti katika mapito yake.


Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi;


Nawe waambie watu hawa, BWANA asema hivi, Tazama naweka mbele yenu njia ya uzima, na njia ya mauti.


nami nimewafunulia haya leo; lakini ninyi hamkuitii sauti ya BWANA, Mungu wenu, katika neno lolote ambalo amenituma kwenu.


Ee mwanadamu, yeye amekuonesha yaliyo mema; na BWANA anataka nini kwako, ila kutenda haki, na kupenda rehema, na kwenda kwa unyenyekevu na Mungu wako!


Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.


Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala kutotahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


Angalieni, nawawekea mbele yenu hivi leo baraka na laana;


Tena itakuwa, mambo haya yote yatakapokujilia, baraka na laana nilizoweka mbele yako, nawe utakapozikumbuka kati ya mataifa yote, huko atakakokupeleka BWANA, Mungu wako,


Lakini neno li karibu nawe sana, li katika kinywa chako na moyo wako, upate kulifanya.


Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako;


Kwa maana si jambo lisilofaa kwenu; maana, ni maisha yenu, na kwa jambo hili mtazifanya siku zenu kuwa nyingi juu ya nchi mwivukiayo Yordani kuimiliki.


Na hii ndiyo amri yake, kwamba tuliamini jina la Mwana wake Yesu Kristo, na kupendana sisi kwa sisi, kama alivyotupa amri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo