Kumbukumbu la Torati 29:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 tukaitwaa nchi yao, nayo tukawapa Wareubeni, na Wagadi, na nusu ya kabila la Manase, iwe urithi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 tukaichukua nchi yao, tukayagawia makabila ya Reubeni na Gadi na nusu kabila la Manase iwe mali yao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 tukaichukua nchi yao, tukayagawia makabila ya Reubeni na Gadi na nusu kabila la Manase iwe mali yao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 tukaichukua nchi yao, tukayagawia makabila ya Reubeni na Gadi na nusu kabila la Manase iwe mali yao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Tuliichukua nchi yao na kuwapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase kama urithi wao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Tuliichukua nchi yao na kuwapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase kama urithi wao. Tazama sura |