Kumbukumbu la Torati 29:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC25 Ndipo watakaposema watu, Ni kwa kuwa waliacha agano la BWANA, Mungu wa baba zao, alilofanya nao hapo alipowatoa katika nchi ya Misri; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Na jibu litatolewa: ‘Ni kwa sababu walivunja agano la Mwenyezi-Mungu, Mungu wa wazee wao ambalo alifanya nao alipowatoa katika nchi ya Misri, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Na jibu litatolewa: ‘Ni kwa sababu walivunja agano la Mwenyezi-Mungu, Mungu wa wazee wao ambalo alifanya nao alipowatoa katika nchi ya Misri, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Na jibu litatolewa: ‘Ni kwa sababu walivunja agano la Mwenyezi-Mungu, Mungu wa wazee wao ambalo alifanya nao alipowatoa katika nchi ya Misri, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Na jibu litakuwa: “Ni kwa sababu watu hawa waliacha agano la Mwenyezi Mungu, Mungu wa baba zao, agano alilofanya nao alipowatoa katika nchi ya Misri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Na jibu litakuwa: “Ni kwa sababu watu hawa waliacha Agano la bwana, Mungu wa baba zao, Agano alilofanya nao wakati alipowatoa katika nchi ya Misri. Tazama sura |