Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 28:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Utabarikiwa uingiapo, utabarikiwa na utokapo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Mtabarikiwa mnaporudi nyumbani na mnapotoka nje.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Mtabarikiwa mnaporudi nyumbani na mnapotoka nje.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Mtabarikiwa mnaporudi nyumbani na mnapotoka nje.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Utabarikiwa uingiapo na utabarikiwa utokapo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Utabarikiwa uingiapo na utabarikiwa utokapo.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 28:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe unamjua Abneri, mwana wa Neri, ya kuwa alikuja ili kukudanganya, apate kujua kutoka kwako, na kuingia kwako, akajue yote uyatendayo.


Basi sasa nipe hekima na maarifa, nijue kutoka na kuingia mbele ya watu hawa; kwa kuwa ni nani awezaye kuwatawala watu wako hawa walio wengi?


BWANA atakulinda utokapo na uingiapo, Tangu sasa na hata milele.


Mungu akamwambia Balaamu, Usiende pamoja nao; wala usiwalaani watu hawa, maana wamebarikiwa.


atakayetoka mbele yao, na kuingia mbele yao; atakayewaongoza watokapo, na kuwaleta ndani; ili watu wa BWANA wasiwe kama kondoo wasio na mchungaji.


Utalaaniwa uingiapo, utalaaniwa na utokapo,


Litabarikiwa kapu lako, na chombo chako cha kukandia unga.


BWANA atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako; watakutokea kwa njia moja, lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba.


Akawaambia, Mimi leo ni mwenye miaka mia moja na ishirini; siwezi tena kutoka na kuingia, na BWANA ameniambia, Hutavuka mto huu Yordani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo