Kumbukumbu la Torati 28:53 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC53 Nawe utakula uzao wa tumbo lako mwenyewe, nyama ya wana wako na binti zako aliokupa BWANA, Mungu wako; katika mazingirwa na katika mkazo utakaokazwa na adui zako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema53 Wakati wa kuzingirwa na kutaabishwa na maadui wenu, mtakula watoto wenu ambao Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu amewapeni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND53 Wakati wa kuzingirwa na kutaabishwa na maadui wenu, mtakula watoto wenu ambao Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu amewapeni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza53 Wakati wa kuzingirwa na kutaabishwa na maadui wenu, mtakula watoto wenu ambao Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu amewapeni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu53 Utakula uzao wa tumbo lako, nyama ya wana wako wa kiume na wa kike, ambao Mwenyezi Mungu, Mungu wako, amekupa, kwa sababu ya mateso yale adui zako watakayokuletea wakati wa kukuzingira. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu53 Utakula uzao wa tumbo lako, nyama ya wana wako na binti zako ambao bwana Mwenyezi Mungu wako amekupa, kwa sababu ya mateso yale adui zako watakayokuletea wakati wa kukuzingira. Tazama sura |