Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 28:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

39 Utapanda mizabibu na kuitengeza, wala hutakunywa katika divai yake, wala kuichuma kwani italiwa na mabuu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Mtapanda mizabibu na kuitunza, lakini hamtavuna mizabibu hiyo wala kunywa divai yake, maana wadudu wataila.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Mtapanda mizabibu na kuitunza, lakini hamtavuna mizabibu hiyo wala kunywa divai yake, maana wadudu wataila.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Mtapanda mizabibu na kuitunza, lakini hamtavuna mizabibu hiyo wala kunywa divai yake, maana wadudu wataila.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Utapanda mashamba ya mizabibu na kuyapalilia, lakini hutakunywa divai yake wala hutakusanya zabibu, kwa sababu wadudu watazila.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Utapanda mashamba ya mizabibu na kuyapalilia, lakini hutakunywa divai yake wala hutakusanya zabibu, kwa sababu wadudu watazila.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 28:39
7 Marejeleo ya Msalaba  

Atayapukutisha mapooza yake kama mzabibu, Na kuyatupa maua yake kama mzeituni.


Kwa maana shamba la mizabibu la eka kumi litatoa bathi moja tu, na homeri ya mbegu itatoa efa tu.


Lakini siku ya pili kulipopambazuka, Mungu akatayarisha buu, nalo likautafuna ule mtango, ukakatika.


Maana mtini hautachanua maua, Wala mizabibuni hamtakuwa na matunda; Taabu ya mzeituni itakuwa bure, Na mashamba hayatatoa chakula; Zizini hamtakuwa na kundi, Wala vibandani hamtakuwa na kundi la ng'ombe;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo