Kumbukumbu la Torati 28:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Na mataifa yote ya duniani watakuona umeitwa kwa jina la BWANA, nao watakuwa na hofu kwako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Mataifa yote duniani yakiona kwamba nyinyi mnaitwa kwa jina la Mwenyezi-Mungu yatawaogopa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Mataifa yote duniani yakiona kwamba nyinyi mnaitwa kwa jina la Mwenyezi-Mungu yatawaogopa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Mataifa yote duniani yakiona kwamba nyinyi mnaitwa kwa jina la Mwenyezi-Mungu yatawaogopa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Kisha mataifa yote ya dunia wataona kuwa unaitwa kwa jina la Mwenyezi Mungu, nao watakuogopa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Kisha mataifa yote ya dunia wataona kuwa unaitwa kwa jina la bwana, nao watakuogopa. Tazama sura |
Ikawa, wafalme wa Waamori, waliokaa ng'ambo ya Yordani pande za magharibi, na wafalme wote wa Wakanaani, waliokuwa karibu na bahari, waliposikia jinsi BWANA alivyoyakausha maji ya Yordani mbele ya wana wa Israeli, hadi tulipokwisha kuvuka, basi mioyo yao iliyeyuka, wala haikuwamo roho ya nguvu ndani yao tena; kwa ajili ya wana wa Israeli.