Kumbukumbu la Torati 27:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 “ ‘Alaaniwe mtu yeyote asiyekubali maneno haya ya sheria na kuyatii’. Na watu wote wataitika, ‘Amina!’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 “ ‘Alaaniwe mtu yeyote asiyekubali maneno haya ya sheria na kuyatii’. Na watu wote wataitika, ‘Amina!’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 “‘Alaaniwe mtu yeyote asiyekubali maneno haya ya sheria na kuyatii’. Na watu wote wataitika, ‘Amina!’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 “Alaaniwe mtu yule ambaye hatashikilia maneno ya sheria hii kwa kuyatekeleza.” Kisha watu wote watasema, “Amen!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 “Alaaniwe mtu yule ambaye hatashikilia maneno ya sheria hii kwa kuyatekeleza.” Kisha watu wote watasema, “Amen!” Tazama sura |