Kumbukumbu la Torati 27:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Na alaaniwe apotoaye hukumu ya mgeni, na yatima, na mjane aliyefiliwa na mumewe. Na watu wote waseme, Amina. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 “ ‘Alaaniwe mtu yeyote anayepotosha haki ya mgeni au yatima au mjane’. Na watu wote wataitika, ‘Amina!’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 “ ‘Alaaniwe mtu yeyote anayepotosha haki ya mgeni au yatima au mjane’. Na watu wote wataitika, ‘Amina!’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 “‘Alaaniwe mtu yeyote anayepotosha haki ya mgeni au yatima au mjane’. Na watu wote wataitika, ‘Amina!’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 “Alaaniwe mtu apotoshaye haki ya mgeni, yatima au mjane.” Kisha watu wote watasema, “Amen!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 “Alaaniwe mtu apotoshaye haki ya mgeni, yatima au mjane.” Kisha watu wote watasema, “Amen!” Tazama sura |