Kumbukumbu la Torati 27:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Na alaaniwe ampotezaye kipofu akakosa njia. Na watu wote waseme, Amina. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 “ ‘Alaaniwe mtu yeyote ampotoshaye kipofu njiani.’ Na watu wote wataitika, ‘Amina!’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 “ ‘Alaaniwe mtu yeyote ampotoshaye kipofu njiani.’ Na watu wote wataitika, ‘Amina!’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 “‘Alaaniwe mtu yeyote ampotoshaye kipofu njiani.’ Na watu wote wataitika, ‘Amina!’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 “Alaaniwe mtu ampotoshaye kipofu njiani.” Kisha watu wote watasema, “Amen!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 “Alaaniwe mtu ampotoshaye kipofu njiani.” Kisha watu wote watasema, “Amen!” Tazama sura |