Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 27:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Musa akawaagiza wale watu siku iyo hiyo, akasema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Siku hiyo Mose aliwaagiza watu na kusema,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Siku hiyo Mose aliwaagiza watu na kusema,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Siku hiyo Mose aliwaagiza watu na kusema,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Siku ile ile Musa akawaagiza watu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Siku ile ile Musa akawaagiza watu:

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 27:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Lea ni Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni.


Nikawaagiza wakati ule waamuzi wenu, nikawaambia, Sikilizeni ninyi maneno kati ya ndugu zenu, mkaamue kwa haki kati ya mtu na nduguye, na mgeni aliye pamoja naye.


Basi isikize sauti ya BWANA, Mungu wako, ufanye maagizo yake na amri zake nikuagizavyo leo.


Hawa na wasimame juu ya mlima wa Gerizimu kwa kuwabarikia watu, mkiisha vuka Yordani; Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Yusufu, na Benyamini;


Na Israeli wote pamoja na wazee, viongozi wao na waamuzi wao, wakasimama upande huu wa sanduku na upande huu, mbele ya makuhani Walawi, waliolichukua sanduku la Agano la BWANA, huyo aliyekuwa mgeni pamoja na huyo mzalia; nusu yao mbele ya mlima Gerizimu, na nusu yao mbele ya mlima Ebali, kama Musa, mtumishi wa BWANA, alivyoamuru hapo awali, ili wawabariki watu wa Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo