Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 26:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 naye ametuingiza mahali hapa, na kutupa nchi hii, nchi ijaayo maziwa na asali.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Alituleta hapa na kutupatia nchi hii inayotiririka maziwa na asali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Alituleta hapa na kutupatia nchi hii inayotiririka maziwa na asali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Alituleta hapa na kutupatia nchi hii inayotiririka maziwa na asali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Akatuleta mahali hapa akatupatia nchi hii, nchi inayotiririka maziwa na asali;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Akatuleta mahali hapa akatupa nchi hii, nchi inayotiririka maziwa na asali;

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 26:9
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akawapa nchi za mataifa, wakairithi kazi ya watu;


Nami nimesema, Nitawapandisha kutoka katika mateso ya Misri na kuwaingiza katika nchi ya Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, nchi ijaayo maziwa na asali.


nami nimeshuka ili niwaokoe kutoka kwa mikono ya Wamisri, niwapandishe kutoka nchi ile, hadi nchi njema, kisha pana; nchi itiririkayo maziwa na asali; hata mahali pa Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi.


Tena niliwainulia mkono wangu jangwani, ya kwamba sitawaingiza katika nchi ile niliyokuwa nimewapa, itiririkayo maziwa na asali, ambayo ni utukufu wa nchi zote;


katika siku ile niliwainulia mkono wangu, kuwatoa katika nchi ya Misri, na kuwaingiza katika nchi niliyowapelelezea, itiririkayo maziwa na asali, ambayo ni utukufu wa nchi zote;


Basi kwa kuwa nimeupata msaada utokao kwa Mungu nimesimama hata leo hivi nikiwashuhudia wadogo kwa wakubwa, wala sisemi neno ila yale ambayo manabii na Musa waliyasema, kwamba yatakuwa;


Uangalie kutoka makazi yako matakatifu mbinguni, uwabarikie watu wako Israeli, na nchi uliyotupa kama ulivyowaapia baba zetu, nchi imiminikayo maziwa na asali.


uyaandike maneno yote ya torati hii juu yake, utakapokwisha kuvuka; ili upate kuingia nchi akupayo BWANA, Mungu wako, nchi imiminikayo maziwa na asali, kama alivyokuahidi BWANA, Mungu wa baba zako.


Sikiliza basi, Ee Israeli, ukaangalie kuzitenda; upate kufanikiwa, mpate kuongezeka sana, kama BWANA, Mungu wa baba zako, alivyokuahidi, katika nchi ijaayo maziwa na asali.


Angalieni, mimi leo ninakwenda njia ile waendayo watu wote wa ulimwengu; nanyi nyote mnajua mioyoni mwenu, na rohoni mwenu, ya kuwa halikuwapungukia ninyi hata neno moja katika mambo hayo mema yote aliyoyanena BWANA, Mungu wenu, katika habari zenu; yote yametimia kwenu hapana neno lolote mlilopungukiwa.


Ndipo Samweli akatwaa jiwe, na kulisimamisha kati ya Mispa na Sheni, akaliita jina lake Ebenezeri, akisema, Hata sasa BWANA ametusaidia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo