Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 26:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Wamisri wakatuonea, wakatutesa, wakatutumikisha utumwa mzito.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Wamisri walitutendea kwa ukatili wakatutesa na kutulazimisha kufanya kazi ngumu ya watumwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Wamisri walitutendea kwa ukatili wakatutesa na kutulazimisha kufanya kazi ngumu ya watumwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Wamisri walitutendea kwa ukatili wakatutesa na kutulazimisha kufanya kazi ngumu ya watumwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Lakini Wamisri walituonea na kututaabisha, wakitufanyisha kazi ngumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Lakini Wamisri walituonea na kututaabisha, wakitufanyisha kazi ngumu.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 26:6
11 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakaweka wasimamizi juu yao wawatese kwa mizigo yao. Nao wakamjengea Farao miji ya kuwekea akiba, Pithomu na Ramesesi.


wakafanya maisha yao kuwa machungu kwa kazi ngumu; kazi ya chokaa na ya matofali, na kila namna ya kazi ya mashamba; kwa kazi zao zote walizowatumikisha kwa ukali.


akasema, Wakati mnapowazalisha wanawake wa Kiebrania na kuona kuwa ni mtoto wa kiume basi mwueni, bali ikiwa ni mtoto wa kike, na aishi.


Kisha huyo Farao akawaagiza watu wake wote, akisema, Kila mtoto wa kiume atakayezaliwa mtamtupa mtoni, na kila mtoto wa kike mtamhifadhi hai.


Basi akatokea mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu.


Basi wanyapara wa wana wa Israeli wakaona ya kwamba wako katika hali mbaya, walipoambiwa, Hamtapunguza idadi ya matofali yenu hata kidogo; ndizo shughuli zenu za kila siku.


Kwa maana tangu nilipokwenda kwa Farao, kusema naye kwa jina lako, amewatenda mabaya watu hawa; wala hukuwaokoa watu wako hata kidogo.


Wapeni watu hao kazi nzito zaidi, waitaabikie; wala wasiangalie maneno ya uongo.


jinsi baba zetu walivyoteremkia Misri, nasi tulikaa Misri muda mrefu, nao Wamisri walitutenda vibaya sana, na baba zetu pia;


Tukamlilia BWANA, Mungu wa baba zetu; BWANA akasikia sauti yetu, akaona na taabu yetu, na kazi yetu, na kuonewa kwetu.


Bali BWANA amewatwaa ninyi, na kuwatoa katika tanuri ya chuma, katika Misri, mpate kuwa watu wa urithi kwake, kama mlivyo hivi leo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo