Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 24:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Naye akiwa ni mtu maskini, usilale na rehani yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Kama yeye ni maskini usikae na rehani hiyo usiku kucha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Kama yeye ni maskini usikae na rehani hiyo usiku kucha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Kama yeye ni maskini usikae na rehani hiyo usiku kucha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Ikiwa mtu huyo ni maskini, usiende kulala ukiwa na hiyo rehani yake katika milki yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Ikiwa mtu huyo ni maskini, usiende kulala ukiwa na hiyo rehani yake katika milki yako.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 24:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa umetwaa dhamana kwa nduguyo bure, Na kuwavua nguo zao walio uchi.


Hata wazunguke uchi bila mavazi, Nao wakiwa na njaa huchukua miganda;


Huwanyang'anya yatima punda wao, Humtwaa rehani ng'ombe wake mwanamke mjane.


Hujilaza usiku kucha uchi bila nguo, Wala hawana cha kujifunika baridi.


Wako wamwondoao matitini kwa nguvu huyo asiye na baba, Na kutwaa rehani kwa maskini;


Simama nje, yule umkopeshaye akuletee nje ile rehani.


Sharti umrudishie rehani lichwapo jua, apate kulala na mavazi yake, na kukubarikia; nayo itakuwa ni haki kwako mbele za BWANA, Mungu wako.


Usipotoshe hukumu ya mgeni, wala ya yatima; wala usitwae mavazi ya mjane, yawe rehani;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo