Kumbukumbu la Torati 23:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Utakapoweka nadhiri kwa BWANA, Mungu wako, usiwe mlegevu katika kuiondoa; kwa kuwa BWANA, Mungu wako, hataacha kuitaka kwako; nayo hivi itakuwa dhambi kwako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Unapoweka nadhiri kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, usichelewe kuitekeleza, maana Mwenyezi-Mungu, Mungu wako ataidai kwako, nawe utakuwa na kosa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Unapoweka nadhiri kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, usichelewe kuitekeleza, maana Mwenyezi-Mungu, Mungu wako ataidai kwako, nawe utakuwa na kosa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Unapoweka nadhiri kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, usichelewe kuitekeleza, maana Mwenyezi-Mungu, Mungu wako ataidai kwako, nawe utakuwa na kosa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Ukiweka nadhiri kwa Mwenyezi Mungu, Mungu wako, usichelewe kuitimiza, kwa kuwa Mwenyezi Mungu, Mungu wako, atakudai, nawe utakuwa na hatia ya dhambi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Ukiweka nadhiri kwa bwana Mwenyezi Mungu wako, usichelewe kuitimiza, kwa kuwa bwana Mwenyezi Mungu wako atakudai, nawe utakuwa na hatia ya dhambi. Tazama sura |