Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 23:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Usimrudishe kwa bwana wake mtumwa aliyejiponya kutoka kwa bwana wake kuja kwako;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 “Mtumwa akikimbilia kwako usimrudishe kwa bwana wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 “Mtumwa akikimbilia kwako usimrudishe kwa bwana wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 “Mtumwa akikimbilia kwako usimrudishe kwa bwana wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Ikiwa mtumwa amekimbilia kwako, usimrudishe kwa bwana wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Ikiwa mtumwa amekimbilia kwako, usimrudishe kwa bwana wake.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 23:15
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Bwana alipoamka kama aliyelala usingizi, Kama shujaa apigaye kelele kwa sababu ya mvinyo;


Paza sauti, piga kelele, mwenyeji wa Sayuni; Maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu kati yako.


Bali huko BWANA atakuwa pamoja nasi, mwenye adhama; mahali penye mito mipana na vijito, pasipopita mashua na makasia yake; wala hapana merikebu ya vita itakayopita hapo.


Nami nitakwenda kati yenu, nami nitakuwa Mungu wenu, nanyi mtakuwa watu wangu.


Wala usisimame penye njia panda, ili kuwakatilia mbali watu wake wakimbiao; wala usiwatoe watu wake waliosalia, katika siku ya dhiki.


Wewe uliye na macho safi hata usiweze kuangalia uovu, wewe usiyeweza kutazama ukaidi, mbona unawaangalia watendao kwa hila; na kunyamaza kimya, hapo mtu mwovu ammezapo mtu aliye mwenye haki kuliko yeye;


BWANA, Mungu wako, yuko katikati yako shujaa awezaye kuokoa; Atakushangilia kwa furaha kuu, Atakutuliza katika upendo wake, Atakufurahia kwa kuimba.


mtawatoa nje wote, wanaume kwa wanawake, mtawaweka nje ya kambi; ili wasizitie unajisi kambi zao, ambazo mimi naketi katikati yazo.


na akae nawe, katikati yako, ndani ya malango yako mojawapo, mahali atakapochagua palipo pema machoni pake; usimwonee.


Daudi akamwambia, Je! Wewe utaniongoza chini hadi nilifikie jeshi hilo? Naye akasema, Uniapie kwa Mungu, ya kwamba hutaniua, wala kunitia mikononi mwa huyo bwana wangu, nami nitakuongoza chini hata kulifikia jeshi hilo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo