Kumbukumbu la Torati 23:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Aliyejeruhika konde, au aliyekatika tupu yake, asiingie mtu huyo katika mkutano wa BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 “Mwanamume yeyote aliyehasiwa au aliyekatwa uume wake haruhusiwi kujiunga na kusanyiko la watu wa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 “Mwanamume yeyote aliyehasiwa au aliyekatwa uume wake haruhusiwi kujiunga na kusanyiko la watu wa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 “Mwanamume yeyote aliyehasiwa au aliyekatwa uume wake haruhusiwi kujiunga na kusanyiko la watu wa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Asiingie mtu yeyote aliyehasiwa kwa kupondwa makende au kwa kukatwa uume wake katika kusanyiko la Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Asiingie mtu yeyote aliyehasiwa kwa kupondwa makende au kwa kukatwa uume wake katika kusanyiko la bwana. Tazama sura |