Kumbukumbu la Torati 21:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Mtu akiwa na mwana mkaidi, mshupavu, asiyetii sauti ya baba yake, wala sauti ya mama yake, nao wajapomwadhibu hawasikizi, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 “Kama mtu ana mtoto mkaidi na mtundu, asiyemtii baba yake au mama yake wanapompa nidhamu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 “Kama mtu ana mtoto mkaidi na mtundu, asiyemtii baba yake au mama yake wanapompa nidhamu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 “Kama mtu ana mtoto mkaidi na mtundu, asiyemtii baba yake au mama yake wanapompa nidhamu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kama mtu ana mwana mkaidi na mwasi ambaye hamtii baba yake na mama yake, na hasikii wazazi wanapomkanya, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kama mtu ana mwana mkaidi na mwasi ambaye hamtii baba yake na mama yake, na hasikii wazazi wanapomrudi, Tazama sura |