Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 21:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 ndipo umchukue kwenu nyumbani kwako, naye atanyoa kichwa, akate na kucha;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 basi, wewe mwanamume mhusika utamchukua nyumbani kwako, naye atanyoa kichwa chake, akakate kucha zake,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 basi, wewe mwanamume mhusika utamchukua nyumbani kwako, naye atanyoa kichwa chake, akakate kucha zake,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 basi, wewe mwanamume mhusika utamchukua nyumbani kwako, naye atanyoa kichwa chake, akakate kucha zake,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Mlete nyumbani mwako, anyoe nywele na kukata kucha zake,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Mlete nyumbani mwako, anyoe nywele na kukata kucha zake,

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 21:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Naye huyo atakayetakaswa atazifua nguo zake, na kunyoa nywele zake zote, na kuoga katika maji, naye atakuwa safi; baada ya hayo ataingia ndani ya kambi, lakini ataketi nje ya hema yake muda wa siku saba.


Kisha siku ya saba atanyoa nywele zote za kichwani mwake, na ndevu zake, na nyusi zake, nywele zake zote pia atazinyoa; kisha atazifua nguo zake, na kuoga mwili wake majini, naye atakuwa safi.


Na kama mtu yeyote akifa ghafla karibu naye, akajitia unajisi kichwa cha kutengwa kwake, ndipo atakinyoa kichwa siku hiyo ya kutakaswa kwake, atakinyoa siku ya saba.


Bali kila mwanamke asalipo, au anapotoa unabii, bila kufunika kichwa, anaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa.


Maana mwanamke asipojifunika kichwa, na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunike kichwa.


mvue mwenendo wenu wa kwanza, utu wa zamani unaoharibika, kwa kuzifuata tamaa zenye kudanganya;


ukaona kati ya mateka mwanamke mzuri, ukafanya tamaa kwake, ukawaza kumtwaa kuwa mkeo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo