Kumbukumbu la Torati 20:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Lakini katika miji ya mataifa haya akupayo BWANA, Mungu wako, kuwa urithi, usihifadhi kuwa hai kitu chochote kipumzikacho; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Lakini katika miji ya nchi ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, anawapeni, msisalimishe chochote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Lakini katika miji ya nchi ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, anawapeni, msisalimishe chochote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Lakini katika miji ya nchi ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, anawapeni, msisalimishe chochote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Hata hivyo, katika miji ya mataifa ambayo Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, anawapa kama urithi, msiache kitu chochote hai kinachopumua. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Hata hivyo, katika miji ya mataifa ambayo bwana Mwenyezi Mungu wenu anawapa kama urithi, msiache kitu chochote hai kinachopumua. Tazama sura |
Nao wakamjibu Yoshua, na kusema, Ni kwa sababu ya sisi watumishi wako kuambiwa hakika, jinsi huyo BWANA, Mungu wako alivyomwamuru mtumishi wake Musa kuwapa ninyi nchi hii yote, na kuwaangamiza wenyeji wote wa nchi hii watoke mbele zenu; kwa sababu hii tuliogopa mno kwa ajili ya uhai wetu kwa sababu yenu, nasi tumefanya neno hili.