Kumbukumbu la Torati 20:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Na kwamba hautaki kufanya amani nawe, lakini utafanya vita juu yako, ndipo uuhusuru; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Lakini wakazi wa mji huo wasipofanya amani nanyi, lakini wakapigana vita nanyi, basi, mtauzingira mji wao; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Lakini wakazi wa mji huo wasipofanya amani nanyi, lakini wakapigana vita nanyi, basi, mtauzingira mji wao; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Lakini wakazi wa mji huo wasipofanya amani nanyi, lakini wakapigana vita nanyi, basi, mtauzingira mji wao; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Ikiwa watakataa kufanya mapatano ya amani na wakiwaingiza katika vita, basi mtauzingira mji huo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Ikiwa watakataa kufanya mapatano ya amani na wakiwaingiza katika vita, basi mtauzunguka mji huo kwa vita. Tazama sura |