Kumbukumbu la Torati 20:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Itakuwa utakapokujibu kwa amani, na kukufungulia, ndipo watu wote watakaoonekana humo watakufanyia kazi ya shokoa, na kukutumikia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Wakazi wa mji huo wakitaka amani na kujisalimisha kwenu, basi watu wote waliomo humo watawatumikieni na kufanya kazi za kulazimishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Wakazi wa mji huo wakitaka amani na kujisalimisha kwenu, basi watu wote waliomo humo watawatumikieni na kufanya kazi za kulazimishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Wakazi wa mji huo wakitaka amani na kujisalimisha kwenu, basi watu wote waliomo humo watawatumikieni na kufanya kazi za kulazimishwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Wakikubali na kuwafungulia malango yao, watu wake wote watakuwa watumwa wa kufanya kazi ngumu, na watawatumikia ninyi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Wakikubali na kuwafungulia malango yao, watu wake wote watawatumikia kwa kufanya kazi ngumu na watawatumikia. Tazama sura |