Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 20:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Utakaposongea karibu ya mji kwenda kupigana juu yake, ndipo utakapowapigia ukelele wa amani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 “Mnapokaribia mji kuushambulia, kwanza wapeni wakazi wake masharti ya amani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 “Mnapokaribia mji kuushambulia, kwanza wapeni wakazi wake masharti ya amani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 “Mnapokaribia mji kuushambulia, kwanza wapeni wakazi wake masharti ya amani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Mtakapoenda kushambulia mji, wapeni watu wake masharti ya amani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Wakati mtakapokwenda kushambulia mji, wapeni watu wake masharti ya amani.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 20:10
13 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi nayaumba matunda ya midomo; Amani, amani, kwake yeye aliye mbali, na kwake yeye aliye karibu; asema BWANA; nami nitamponya.


Na gari la vita nitaliondoa liwe mbali na Efraimu, na farasi awe mbali na Yerusalemu, na upinde wa vita utaondolewa mbali; naye atawahubiria mataifa yote habari za amani; na mamlaka yake yatakuwa toka bahari hata bahari, na toka Mto hata miisho ya dunia.


Neno lile alilowapelekea wana wa Israeli akihubiri Habari Njema ya amani kwa Yesu Kristo (ndiye Bwana wa wote),


Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa huduma ya upatanisho;


Akaja akahubiri amani kwenu ninyi mliokuwa mbali, na amani kwao wale waliokuwa karibu.


Nikatuma wajumbe kutoka bara ya Kedemothi kwenda kwa Sihoni mfalme wa Heshboni na maneno ya amani, kusema.


Itakuwa utakapokujibu kwa amani, na kukufungulia, ndipo watu wote watakaoonekana humo watakufanyia kazi ya shokoa, na kukutumikia.


Itakuwa hapo watakapokwisha wale makamanda kusema na watu, na waweke majemadari wa majeshi juu ya watu.


Basi Yeftha akatuma wajumbe waende kwa mfalme wa wana wa Amoni akasema, Je! Wewe una nini nami, hata umenijia kupigana juu ya nchi yangu?


Basi mkutano ukatuma watu na kunena na wana wa Benyamini waliokuwako huko katika jabali la Rimoni, wakawatangazia amani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo