Kumbukumbu la Torati 2:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Nunueni vyakula kwao kwa fedha, mpate kula; na maji nayo nunueni kwao kwa fedha, mpate kunywa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Mkitaka chakula au maji kutoka kwao, lazima mnunue.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Mkitaka chakula au maji kutoka kwao, lazima mnunue.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Mkitaka chakula au maji kutoka kwao, lazima mnunue.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Mtawalipa fedha kwa chakula mtakachokula na maji mtakayokunywa.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Mtawalipa fedha kwa chakula mtakachokula na maji mtakayokunywa.’ ” Tazama sura |