Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 2:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Hivi leo ivuke Ari, mpaka wa Moabu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 ‘Leo hii mtauvuka mpaka wa Moabu kwa kupitia nchi ya Ari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 ‘Leo hii mtauvuka mpaka wa Moabu kwa kupitia nchi ya Ari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 ‘Leo hii mtauvuka mpaka wa Moabu kwa kupitia nchi ya Ari.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 “Leo utapita katika nchi ya Moabu huko Ari.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 “Leo utapita katika nchi ya Moabu huko Ari.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 2:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ufunuo juu ya Moabu. Maana katika usiku mmoja Ari wa Moabu umeharibiwa kabisa na kuangamizwa; maana katika usiku mmoja Kiri wa Moabu umeharibiwa kabisa na kuangamizwa.


Kutoka huko wakasafiri, wakapanga upande wa pili wa Arnoni, ulio jangwani, utokao katika mpaka wa Waamori; maana, Arnoni ndio mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.


Na materemko ya hizo bonde Kwenye kuteremkia maskani ya Ari, Na kutegemea mpaka wa Moabu.


Lakini Sihoni hakukubali kumwacha Israeli kupita katika mpaka wake; bali Sihoni akawakutanisha watu wake wote, akatoka aende kupigana na Israeli jangwani, akafika mpaka Yahasa; akapigana na Israeli.


BWANA aliniambia, akasema,


BWANA akaniambia, Usiwasumbue Wamoabi, wala usishindane nao katika mapigano; kwa kuwa sitakupa katika nchi yake kuimiliki; kwa sababu Ari nimewapa wana wa Lutu kuimiliki.


Kisha akaenda nyikani na kuizunguka hiyo nchi ya Edomu, na nchi ya Moabu, nao wakapita upande wa mashariki mwa nchi ya Moabu, wakapiga kambi upande wa pili wa Arnoni; wala hawakuingia ndani ya mpaka wa Moabu, kwa maana Arnoni ilikuwa ni mpaka wa Moabu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo