Kumbukumbu la Torati 2:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Tena mkono wa BWANA ulikuwa juu yao ili kuwaangamiza, kuwatoa katika kambi hadi walipouwawa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Mwenyezi-Mungu mwenyewe aliwakabili ili kuwaangamiza huko kambini, hata wote wakaisha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Mwenyezi-Mungu mwenyewe aliwakabili ili kuwaangamiza huko kambini, hata wote wakaisha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Mwenyezi-Mungu mwenyewe aliwakabili ili kuwaangamiza huko kambini, hata wote wakaisha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Mkono wa Mwenyezi Mungu uliwakabili hadi alipowaangamiza wote huko kambini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Mkono wa bwana uliwakabili hadi alipowaangamiza wote huko kambini. Tazama sura |