Kumbukumbu la Torati 2:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 (Walioishi humo hapo kale ni Waemi, nao ni watu wakubwa, wengi, warefu, mfano wa Waanaki; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 (Hapo zamani hiyo nchi ya Ari ilikuwa imekaliwa na watu wengi, wenye nguvu na ambao walikuwa warefu kama Waanaki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 (Hapo zamani hiyo nchi ya Ari ilikuwa imekaliwa na watu wengi, wenye nguvu na ambao walikuwa warefu kama Waanaki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 (Hapo zamani hiyo nchi ya Ari ilikuwa imekaliwa na watu wengi, wenye nguvu na ambao walikuwa warefu kama Waanaki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 (Waemi walikuwa wakiishi huko hapo zamani, watu wenye nguvu na wengi, warefu kama Waanaki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 (Waemi walikuwa wakiishi huko hapo zamani, watu wenye nguvu na wengi, warefu kama Waanaki. Tazama sura |