Kumbukumbu la Torati 19:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 ndipo wale watu washindanao kwa mambo yale na wasimame wote wawili mbele za BWANA, mbele ya makuhani na waamuzi watakaokuwapo siku hizo; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 basi yeye na mshtakiwa kuhusu mzozo huo watakwenda mbele ya Mwenyezi-Mungu, mbele ya makuhani na waamuzi ambao wako katika ofisi wakati huo; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 basi yeye na mshtakiwa kuhusu mzozo huo watakwenda mbele ya Mwenyezi-Mungu, mbele ya makuhani na waamuzi ambao wako katika ofisi wakati huo; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 basi yeye na mshtakiwa kuhusu mzozo huo watakwenda mbele ya Mwenyezi-Mungu, mbele ya makuhani na waamuzi ambao wako katika ofisi wakati huo; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 watu wawili wanaohusika katika mabishano lazima wasimame mbele za Mwenyezi Mungu na mbele ya makuhani na waamuzi ambao wako kazini wakati huo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 watu wawili wanaohusika katika mabishano lazima wasimame mbele za bwana na mbele ya makuhani na waamuzi ambao wako kazini wakati huo. Tazama sura |