Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 19:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Shahidi mdhalimu akimwinukia mtu yeyote na kushuhudia juu yake ya upotoe;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Ikiwa shahidi mdhalimu atatokea kumshtaki mtu yeyote juu ya kosa fulani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Ikiwa shahidi mdhalimu atatokea kumshtaki mtu yeyote juu ya kosa fulani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Ikiwa shahidi mdhalimu atatokea kumshtaki mtu yeyote juu ya kosa fulani,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Kama shahidi mwenye nia ya kumdhuru mwingine akisimama kumshtaki mtu kwa uhalifu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Kama shahidi mwenye nia ya kumdhuru mwingine akisimama kumshtaki mtu kwa uhalifu,

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 19:16
9 Marejeleo ya Msalaba  

Usinitie katika nia ya watesi wangu; Maana mashahidi wa uongo wamenijia, Nao watoao jeuri kama pumzi.


Mashahidi wa udhalimu wanasimama, Wananiuliza mambo nisiyoyajua.


Shahidi mwaminifu hatasema uongo; Bali shahidi wa uongo, pumzi zake ni uongo.


Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Wala asemaye uongo hataokoka.


Wakasimamisha mashahidi wa uongo waliosema, Mtu huyu haachi kusema maneno ya kufuru juu ya mahali hapa patakatifu na juu ya torati;


Wala usimshuhudie jirani yako uongo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo