Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 19:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Usiiondoe alama ya mpaka wa jirani yako, waliouweka watu wa kale katika urithi wako, utakaorithi ndani ya nchi akupayo BWANA, Mungu wako, uimiliki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 “Msiondoe alama ya mipaka ya jirani zenu, ambayo iliwekwa hapo zamani katika nchi ambayo Mwenyezi-Mungu wenu anawapatieni mwimiliki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 “Msiondoe alama ya mipaka ya jirani zenu, ambayo iliwekwa hapo zamani katika nchi ambayo Mwenyezi-Mungu wenu anawapatieni mwimiliki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 “Msiondoe alama ya mipaka ya jirani zenu, ambayo iliwekwa hapo zamani katika nchi ambayo Mwenyezi-Mungu wenu anawapatieni mwimiliki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Usisogeze jiwe la mpaka wa jirani yako ambao uliwekwa na wale waliokutangulia katika urithi upokeao katika nchi Mwenyezi Mungu, Mungu wako, anayowapa kuimiliki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Usisogeze jiwe la mpaka wa jirani yako ambao uliwekwa na wale waliokutangulia katika urithi upokeao katika nchi bwana Mwenyezi Mungu wako anayowapa kuimiliki.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 19:14
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wako waziondoao alama za mipaka; Huyachukua makundi na kuyalisha.


Lakini kama hakumvizia, ila Mungu amemtia mkononi mwake; basi nitakuonesha mahali atakapopakimbilia.


BWANA ataing'oa nyumba ya mwenye kiburi; Bali atauthibitisha mpaka wa mjane.


Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani, Uliowekwa na baba zako.


Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani; Wala usiingie katika mashamba ya yatima;


Wakuu wa Yuda ni kama watu waondoao alama ya mpaka; nitawamwagia ghadhabu yangu kama maji.


Na alaaniwe aondoaye mpaka wa jirani yake. Na watu wote waseme, Amina.


Nikawaamuru wakati huo, nikawaambia, BWANA, Mungu wenu, amewapa ninyi nchi hii muimiliki, basi vukeni ng'ambo wenye silaha mbele ya ndugu zenu, wana wa Israeli, nyote mlio mashujaa.


Ndipo Musa akabagua miji mitatu ng'ambo ya Yordani upande wa mashariki;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo