Kumbukumbu la Torati 19:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 isije ikamwagika damu ya asiye makosa kati ya nchi yako akupayo BWANA, Mungu wako, iwe urithi, ikawa na damu juu yako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 ili mtu asiye na hatia asije akauawa katika nchi yenu ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, atawapatia kuwa yenu, na hivyo kuwasababisha kuwa na hatia ya mauaji. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 ili mtu asiye na hatia asije akauawa katika nchi yenu ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, atawapatia kuwa yenu, na hivyo kuwasababisha kuwa na hatia ya mauaji. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 ili mtu asiye na hatia asije akauawa katika nchi yenu ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, atawapatia kuwa yenu, na hivyo kuwasababisha kuwa na hatia ya mauaji. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Fanyeni hivi ili damu isiyo na hatia isimwagwe katika nchi yenu, ambayo Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, anawapa kama urithi wenu, ili msije mkawa na hatia ya kumwaga damu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Fanyeni hivi ili damu isiyo na hatia isimwagwe katika nchi yenu, ambayo bwana Mwenyezi Mungu wenu anawapa kama urithi wenu, ili kwamba msije mkawa na hatia ya kumwaga damu. Tazama sura |