Kumbukumbu la Torati 18:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Utakapokwisha kuingia katika nchi akupayo BWANA, Mungu wako usijifunze kutenda kwa mfano wa machukizo ya mataifa yale. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 “Mtakapofika katika ile nchi ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu atawapa, msifuate desturi za kuchukiza za mataifa hayo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 “Mtakapofika katika ile nchi ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu atawapa, msifuate desturi za kuchukiza za mataifa hayo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 “Mtakapofika katika ile nchi ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu atawapa, msifuate desturi za kuchukiza za mataifa hayo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Mtakapoingia katika nchi ambayo Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, anawapa, msijifunze kuiga njia za machukizo za mataifa ya huko. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Wakati mtakapoingia katika nchi ambayo bwana Mwenyezi Mungu wenu anawapa, msijifunze kuiga njia za machukizo za mataifa ya huko. Tazama sura |