Kumbukumbu la Torati 18:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Wawe na fungu sawasawa la kula, pamoja na haya yaliyomfikia kwa kuuzwa urithi wa baba zake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Watapata mafungu yao sawa ya kula, ingawa wanayo mapato kutokana na mauzo ya mali za jamaa zao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Watapata mafungu yao sawa ya kula, ingawa wanayo mapato kutokana na mauzo ya mali za jamaa zao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Watapata mafungu yao sawa ya kula, ingawa wanayo mapato kutokana na mauzo ya mali za jamaa zao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Atashiriki sawa katika mafao yao, hata kama amepokea fedha kutoka mauzo ya mali ya jamaa yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Atashiriki sawa katika mafao yao, hata kama amepokea fedha kutoka mauzo ya mali ya jamaa yake. Tazama sura |