Kumbukumbu la Torati 18:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Na hii itakuwa haki ya makuhani kwa watu hao wasongezao sadaka, ikiwa ni ng'ombe au kondoo wampe kuhani mkono, na mashavu mawili, na tumbo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 “Na hii itakuwa haki ya makuhani kutoka kwa watu wanaotoa sadaka iwe ni ng'ombe au kondoo: Watampa kuhani mguu wa mbele, mashavu na matumbo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 “Na hii itakuwa haki ya makuhani kutoka kwa watu wanaotoa sadaka iwe ni ng'ombe au kondoo: Watampa kuhani mguu wa mbele, mashavu na matumbo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 “Na hii itakuwa haki ya makuhani kutoka kwa watu wanaotoa sadaka iwe ni ng'ombe au kondoo: watampa kuhani mguu wa mbele, mashavu na matumbo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Hili ndilo fungu la makuhani kutoka kwa watu watakaotoa dhabihu ya fahali au kondoo: mguu wa mbele, mataya na matumbo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Hili ndilo fungu la makuhani kutoka kwa watu watakaotoa dhabihu ya fahali au kondoo: mguu wa mbele, mataya na matumbo. Tazama sura |