Kumbukumbu la Torati 18:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC22 Atakaponena nabii kwa jina la BWANA, lisifuate jambo lile wala kutimia, hilo ndilo neno asilolinena BWANA; kwa kujikinai amelinena huyo nabii, usimwogope. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Kama nabii akisema kitu ati kwa jina la Mwenyezi-Mungu, na kitu hicho hakifanyiki au hakiwi kweli, jambo hilo hakulisema Mwenyezi-Mungu; nabii amelisema kwa ufidhuli, nanyi msitishwe na jambo hilo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Kama nabii akisema kitu ati kwa jina la Mwenyezi-Mungu, na kitu hicho hakifanyiki au hakiwi kweli, jambo hilo hakulisema Mwenyezi-Mungu; nabii amelisema kwa ufidhuli, nanyi msitishwe na jambo hilo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Kama nabii akisema kitu ati kwa jina la Mwenyezi-Mungu, na kitu hicho hakifanyiki au hakiwi kweli, jambo hilo hakulisema Mwenyezi-Mungu; nabii amelisema kwa ufidhuli, nanyi msitishwe na jambo hilo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Ikiwa kile nabii anachotangaza kwa jina la Mwenyezi Mungu hakikutendeka au kutimia, huo ni ujumbe ambao Mwenyezi Mungu hakusema. Nabii huyo amesema kwa ujuaji. Msimwogope huyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Ikiwa kile nabii anachotangaza kwa jina la bwana hakikutokea au kutimia, huo ni ujumbe ambao bwana hakusema. Nabii huyo amesema kwa ujuaji. Msimwogope huyo. Tazama sura |