Kumbukumbu la Torati 18:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Nawe ukisema moyoni mwako, Tutajuaje neno asilolinena BWANA? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 “Lakini nyinyi mwaweza kusema, ‘Tutawezaje kutambua neno ambalo Mwenyezi-Mungu hakulisema?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 “Lakini nyinyi mwaweza kusema, ‘Tutawezaje kutambua neno ambalo Mwenyezi-Mungu hakulisema?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 “Lakini nyinyi mwaweza kusema, ‘Tutawezaje kutambua neno ambalo Mwenyezi-Mungu hakulisema?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Mnaweza kuulizana wenyewe, “Tutawezaje kujua wakati ujumbe haukusemwa na Mwenyezi Mungu?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Mnaweza kuulizana wenyewe, “Tutawezaje kujua wakati ujumbe haukusemwa na bwana?” Tazama sura |