Kumbukumbu la Torati 18:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Hata itakuwa, mtu asiyesikiliza maneno yangu atakayosema yule kwa jina langu, nitalitaka kwake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Yeyote ambaye hatasikia maneno atakayosema nabii huyo kwa jina langu, mimi mwenyewe nitamwadhibu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Yeyote ambaye hatasikia maneno atakayosema nabii huyo kwa jina langu, mimi mwenyewe nitamwadhibu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Yeyote ambaye hatasikia maneno atakayosema nabii huyo kwa jina langu, mimi mwenyewe nitamwadhibu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Kama mtu yeyote hatasikiliza maneno yangu ambayo huyo nabii atayasema kwa Jina langu, mimi mwenyewe nitamwajibisha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Kama mtu yeyote hatasikiliza maneno yangu ambayo huyo nabii atayasema kwa Jina langu, mimi mwenyewe nitamwajibisha. Tazama sura |