Kumbukumbu la Torati 18:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 BWANA, Mungu wako, atakupa nabii miongoni mwa ndugu zako kama nilivyo mimi; msikilizeni yeye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 “Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu atawateulieni nabii aliye kama mimi kutoka miongoni mwenu, nanyi mtamsikiliza huyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 “Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu atawateulieni nabii aliye kama mimi kutoka miongoni mwenu, nanyi mtamsikiliza huyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 “Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu atawateulieni nabii aliye kama mimi kutoka miongoni mwenu, nanyi mtamsikiliza huyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, atawainulia nabii kama mimi kutoka miongoni mwa ndugu zenu wenyewe. Msikilizeni yeye. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 bwana Mwenyezi Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka miongoni mwa ndugu zenu wenyewe. Msikilizeni yeye. Tazama sura |