Kumbukumbu la Torati 18:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Kwa maana mtu atendaye hayo ni chukizo kwa BWANA; kisha ni kwa sababu ya hayo BWANA, Mungu wako, anawafukuza mbele yako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Maana yeyote atendaye mambo haya ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu; na kwa ajili ya mambo haya ya kuchukiza, Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, anawafukuza watu wa namna hiyo mbele yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Maana yeyote atendaye mambo haya ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu; na kwa ajili ya mambo haya ya kuchukiza, Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, anawafukuza watu wa namna hiyo mbele yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Maana yeyote atendaye mambo haya ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu; na kwa ajili ya mambo haya ya kuchukiza, Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, anawafukuza watu wa namna hiyo mbele yenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Mtu yeyote afanyaye mambo haya ni chukizo kwa Mwenyezi Mungu, tena ni kwa sababu ya matendo haya ya kuchukiza wayafanyayo ndiyo maana Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, atayafukuza mataifa hayo mbele yenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Mtu yeyote afanyaye mambo haya ni chukizo kwa bwana, tena ni kwa sababu ya matendo haya ya kuchukiza wayafanyayo ndiyo maana bwana Mwenyezi Mungu wenu atayafukuza mataifa hayo mbele yenu. Tazama sura |