Kumbukumbu la Torati 18:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 wala mchawi, wala mlozi, wala mwenye kutaka kauli kwa mizimu na pepo au kutoka kwa wafu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 wala mchawi, wala mlozi, wala mwenye kutaka kauli kwa mizimu na pepo au kutoka kwa wafu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 wala mchawi, wala mlozi, wala mwenye kutaka kauli kwa mizimu na pepo au kutoka kwa wafu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 wala arogaye kwa kupiga mafundo, wala mwaguzi au anayeabudu mizimu, wala awaombaye wafu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 wala arogaye kwa kupiga mafundo, wala mwaguzi au anayeabudu mizimu, wala awaombaye wafu. Tazama sura |