Kumbukumbu la Torati 17:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Ikiwa ameonekana katikati yako, ndani ya malango yako mojawapo, upewayo na BWANA, Mungu wako, mtu mume au mke afanyaye yaliyo maovu machoni pa BWANA, Mungu wako, kwa kuvunja maagano yake, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 “Kama mkisikia kwamba katika mmoja wa miji yenu kuna mwanamume au mwanamke atendaye maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, na kuvunja agano lake, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 “Kama mkisikia kwamba katika mmoja wa miji yenu kuna mwanamume au mwanamke atendaye maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, na kuvunja agano lake, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 “Kama mkisikia kwamba katika mmoja wa miji yenu kuna mwanamume au mwanamke atendaye maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, na kuvunja agano lake, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Ikiwa mwanaume au mwanamke anayeishi kati ya mojawapo ya miji anayokupa Mwenyezi Mungu, anakutwa anafanya uovu mbele za Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, kwa kuvunja agano lake, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Ikiwa mwanaume au mwanamke anayeishi kati ya mojawapo ya miji akupayo bwana, anakutwa anafanya uovu mbele za bwana Mwenyezi Mungu wenu, kwa kuvunja Agano lake, Tazama sura |