Kumbukumbu la Torati 16:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Kila mtu na atoe kama awezavyo, kwa kadiri ya baraka ya BWANA, Mungu wako, alivyokupa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Wote watatoa kadiri wanavyoweza kulingana na baraka Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, alizowajalia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Wote watatoa kadiri wanavyoweza kulingana na baraka Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, alizowajalia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Wote watatoa kadiri wanavyoweza kulingana na baraka Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, alizowajalia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Kila mmoja wenu ni lazima alete zawadi kulingana na jinsi Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, alivyowabariki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Kila mmoja wenu ni lazima alete zawadi kulingana na jinsi ambavyo bwana Mwenyezi Mungu wenu alivyowabariki. Tazama sura |