Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 15:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Pamoja na haya usile damu yake; uimwage nchi kama maji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Lakini usile damu yake; bali hiyo utaimwaga chini kama maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Lakini usile damu yake; bali hiyo utaimwaga chini kama maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Lakini usile damu yake; bali hiyo utaimwaga chini kama maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Lakini kamwe msile damu; imwageni ardhini kama maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Lakini kamwe msinywe damu; imwageni ardhini kama maji.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 15:23
12 Marejeleo ya Msalaba  

Bali nyama pamoja na uhai, yaani, damu yake, msile.


Basi, waambie, Bwana MUNGU asema hivi; Mnakula nyama pamoja na damu yake, na kuviinulia vinyago vyenu macho yenu, na kumwaga damu; je, mtaimiliki nchi hii?


Kisha mtu yeyote wa nyumba ya Israeli, au miongoni mwa hao wageni wakaao kati yao, atakayekula damu, ya aina yoyote, nitamkataa mtu huyo alaye damu, na nitamtenga na watu wake.


Msile kitu chochote pamoja na damu yake; wala msifanye kuloga, wala kutumia utambuzi.


Tena msiile damu yoyote, ama ya ndege, ama ya mnyama, katika nyumba zenu zote.


bali tuwaandikie kwamba wajiepushe na unajisi wa sanamu, na uasherati, na nyama zilizosongolewa, na damu.


Pamoja na haya, waweza kuchinja nyama na kula ndani ya malango yako yote, kwa kufuata yote yanayotamaniwa na roho yako, kulingana na baraka ya BWANA, Mungu wako, aliyokupa; aliye tohara na asiye tohara ana ruhusa kula katika nyama hiyo, kama ya paa na ya kulungu.


Lakini msiile damu; imwageni juu ya nchi kama maji.


Ila ujihadhari kwamba usile damu, kwani ile damu ndiyo uhai; na uhai usile pamoja na nyama.


Usiile; imwage juu ya nchi kama maji.


Basi watu wakazirukia zile nyara, wakatwaa kondoo, na ng'ombe, na ndama, na kuwachinja papo hapo juu ya nchi, nao wale watu walikuwa wakiwala pamoja na damu.


Ndipo wakamwambia Sauli, wakisema, Angalia, watu hao wanakosa juu ya BWANA, kwa jinsi wanavyokula pamoja na damu. Naye akasema, Ninyi mmefanya kwa hiana; vingirisheni kwangu leo jiwe kubwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo