Kumbukumbu la Torati 15:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 umwangalie kwa wema katika kundi lako, na sakafu yako ya nafaka, na kinu chako cha divai; mpe kama alivyokubarikia BWANA, Mungu wako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Mpe kwa ukarimu kile ambacho Mwenyezi-Mungu amekubariki: Kondoo, nafaka na divai. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Mpe kwa ukarimu kile ambacho Mwenyezi-Mungu amekubariki: Kondoo, nafaka na divai. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Mpe kwa ukarimu kile ambacho Mwenyezi-Mungu amekubariki: kondoo, nafaka na divai. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Mpe kwa hiari kutoka kundi lako la kondoo na mbuzi, kutoka sakafu yako ya kupuria nafaka, na kutoka shinikizo lako la kukamulia zabibu. Mpe kama vile Mwenyezi Mungu, Mungu wako, alivyokubariki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Mpe kwa uhuru kutoka zizi lako la kondoo na mbuzi, kutoka sakafu yako ya kupuria nafaka na kutoka mashinikizo yako ya kukamulia divai. Mpe kama vile ambavyo bwana Mwenyezi Mungu wako alivyokubariki. Tazama sura |