Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 15:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Ikiwa nduguyo, mume wa Kiebrania, au mwanamke wa Kiebrania, akiuzwa kwako, naye amekutumikia miaka sita; basi mwaka wa saba mwache huru aondoke kwako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 “Kama nduguyo Mwebrania, mwanamume au mwanamke, akiuzwa kwako, atakutumikia kwa miaka sita, lakini katika mwaka wa saba, utamwacha huru.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 “Kama nduguyo Mwebrania, mwanamume au mwanamke, akiuzwa kwako, atakutumikia kwa miaka sita, lakini katika mwaka wa saba, utamwacha huru.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 “Kama nduguyo Mwebrania, mwanamume au mwanamke, akiuzwa kwako, atakutumikia kwa miaka sita, lakini katika mwaka wa saba, utamwacha huru.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kama Mwebrania mwenzako, mwanaume au mwanamke, akijiuza kwako na kukutumikia miaka sita, katika mwaka wa saba ni lazima umwache aende zake akiwa huru.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kama Mwebrania mwenzako, mwanaume au mwanamke, akijiuza kwako na kukutumikia miaka sita, katika mwaka wa saba ni lazima umwache aende zake akiwa huru.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 15:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi hukumu utakazoziweka mbele ya watu ni hizi


Mwisho wa kila mwaka wa saba kila mtu na amwache huru ndugu yake aliye Mwebrania, aliyeuzwa kwako na kukutumikia miaka sita utamwacha atoke kwako huru, lakini baba zenu hawakunisikiliza, wala hawakutega masikio yao.


Kila miaka saba, mwisho wake, fanya maachilio.


Nawe utakapomwacha huru aondoke kwako, usimwache aende zake mikono mitupu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo