Kumbukumbu la Torati 14:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Usile kitu chochote kichukizacho. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 “Msile kitu kilicho chukizo kwa Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 “Msile kitu kilicho chukizo kwa Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 “Msile kitu kilicho chukizo kwa Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Msile kitu chochote ambacho ni machukizo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Msile kitu chochote ambacho ni machukizo. Tazama sura |
Kwa ajili ya hayo mtapambanua kati ya mnyama aliye safi na mnyama aliye najisi, na kati ya ndege aliye safi na ndege aliye najisi; nanyi msizifanye nafsi zenu kuwa machukizo kwa njia ya mnyama, au kwa njia ya ndege, au kwa njia ya kitu chochote ambacho nchi imejaa nacho, nilichokitenga nanyi kuwa ni najisi.