Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 14:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 na kila kisichokuwa na mapezi na magamba msile; ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Lakini kiumbe chochote kinachoishi majini kisicho na mapezi wala magamba msile; hivyo ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Lakini kiumbe chochote kinachoishi majini kisicho na mapezi wala magamba msile; hivyo ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Lakini kiumbe chochote kinachoishi majini kisicho na mapezi wala magamba msile; hivyo ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Lakini chochote kisicho na mapezi na magamba msile; kwenu ni najisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Lakini chochote kisicho na mapezi na magamba msile; kwenu ni najisi.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 14:10
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na hao wote wasio na mapezi na magamba, ndani ya bahari, na ndani ya mito, katika hao waendao majini, na katika wote wenye uhai, waliomo majini, hao ni machukizo kwenu,


Kisha mtu awaye yote atakapogusa kitu chochote kilicho najisi, uchafu wa binadamu, au mnyama aliye najisi, au machukizo yoyote yaliyo najisi, kisha akala nyama ya dhabihu ya sadaka za amani, ambazo ni za BWANA, mtu huyo atakatiliwa mbali na watu wake.


Mna ruhusa kula katika ndege wote walio safi.


Mtakula hawa katika wote walio majini; kila kilicho na mapezi na magamba mtakula;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo