Kumbukumbu la Torati 14:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Ninyi mmekuwa wana wa BWANA, Mungu wenu; msijitoje miili yenu, wala msifanye upaa katikati ya macho yenu kwa ajili ya aliyekufa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 “Nyinyi ni watoto wa Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu; msijichanje wala kunyoa upara kwa ajili ya mtu aliyefariki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 “Nyinyi ni watoto wa Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu; msijichanje wala kunyoa upara kwa ajili ya mtu aliyefariki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 “Nyinyi ni watoto wa Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu; msijichanje wala kunyoa upara kwa ajili ya mtu aliyefariki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Ninyi ni watoto wa Mwenyezi Mungu, Mungu wenu. Msijichanje ama kujinyoa upara kwenye paji la uso kwa ajili ya aliyekufa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Ninyi ni watoto wa bwana Mwenyezi Mungu wenu. Msijichanje ama kujinyoa upara kwenye paji la uso kwa ajili ya aliyekufa, Tazama sura |