Kumbukumbu la Torati 13:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 “Akitokea nabii au mtabiri wa ndoto miongoni mwenu, akawaahidi na kuwapa ishara au maajabu fulani, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 “Akitokea nabii au mtabiri wa ndoto miongoni mwenu, akawaahidi na kuwapa ishara au maajabu fulani, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 “Akitokea nabii au mtabiri wa ndoto miongoni mwenu, akawaahidi na kuwapa ishara au maajabu fulani, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Kama nabii, au yule anayetabiri kupitia ndoto, akijitokeza miongoni mwenu na akawatangazia ishara ya miujiza na ajabu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Kama nabii, au yule anayetabiri kwa njia ya ndoto, akijitokeza miongoni mwenu na akawatangazia ishara ya miujiza na ajabu, Tazama sura |